Font Size
1 Wakorintho 15:6-8
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
1 Wakorintho 15:6-8
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
6 Baada ya hilo, aliwatokea waamini wengine zaidi ya mia tano kwa wakati mmoja. Wengi wao bado wanaishi sasa, lakini wengine wamekwisha kufa. 7 Kisha alimtokea Yakobo na baadaye aliwatokea mitume wote. 8 Mwisho wa yote kabisa alinitokea mimi. Nilikuwa tofauti, kama mtoto anayezaliwa wakati usiostahili.
Read full chapter
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi (TKU)
Copyright © 2017 by Bible League International